Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakamatwa wakitorosha madini Shinyanga

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 930. 88 ambayo thamani yake ni Sh Milioni 93 

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kutorosha madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 930. 88 ambayo thamani yake ni Sh Milioni 93 

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga Janeth Magomi amesema watuhumiwa hao ambao majina yao yamehifadhiwa kwa uchunguzi zaidi,wamekamatwa na askari katika barabara ya Ilogi Kata ya Bugarama wilayani Kahama inayoelekea  mkoa jirani wa Geita baada ya askari kulitilia mashaka gari lenye namba za usajili T 913 DRX Toyota Land Cruiser  na kulifuatilia.

Baada ya gari hilo kukamatwa na askari waliokuwa doria walikuta watu sita ndani ya gari na walipofanya upekuzi walikuta madini ya dhahabu, pesa taslimu Sh Milioni 97,025,000, mzani wa kielekitroniki wa kupimia dhahabu pamoja na mashine moja ya kupima ubora wa dhahabu.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto