Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakandarasi wadai kufilisika kisa halmashauri

Jumanne , 21st Jan , 2020

Wafanyabiashara na wakandarasi wa ndani Mkoa wa Katavi wamezitupia lawama halmashauri za mkoa huo kwa kushindwa kuwalipa madeni yao wanayodai kwa mda mrefu, hali inayopelekea baadhi yao kufilisiwa.

Moja ya kifaa cha ujenzi

Wamesema kuwa hali hiyo imewafanya kufilisiwa na mabenki, kuuzwa nyumba zao kwa kushindwa kurejesha mikopo na wengine kufunga biashara zao kwa kukosa mitaji.

Hayo yamebainishwa hii leo, Januari 21 katika kikao ambacho kimeandaliwa na Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kusikiliza changamoto wanazokumbana nazo katika kazi hasa wanazofanya na serikali.

Lakini pia wakandarasi hao wamelalamikia kitendo cha mrundikano wa ushuru jambo ambalo linawakwamisha katika utendaji kazi wao wa kila siku.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa, Juma Homera ametoa siku saba kwa wakandarasi wanaodai fedha zao kufika ofisini kwake na hesabu kamili ya madai yake kila mmoja na halmashauri husika kuhakikisha zinalipa madeni hayo kwa haraka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava