Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi hifadhi ya msitu wa NILO waanza kunufaika

Jumatatu , 9th Nov , 2015

Wakazi wa vijiji 17 vinavyovyozunguka hifadhi ya msitu wa asili (NILO) wameanza kunufaika kwa kupewa miradi mbalimbali ya kilimo cha biashara, ufugaji nyuki na mifugo ili waweze kuhifadhi misitu na kuachana na hujuma za uvunaji kinyume cha sheria

Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya (NILO), Bw,Phabian Mkome

Akizungumza katika hifadhi hiyo kuhusu mhifadhi wa hifadhi ya (NILO) Bw. Simon Matula amesema kabla ya kuwapatia miradi hiyo inayofadhiliwa na mfuko wa hifadhi ya milima ya Tao la mashariki,wametoa elimu ili waweze kuzalisha bidhaa zao kwa tija.

Akifafanua kuhusu vikundi vilivyoanza kunufaika Mhifadhi Mkuu wa hifadhi ya hiyo Bw. Phabian Mkome amesema kikundi cha ufugaji nyuki kimeongeza uzalishaji wa asali na hivi sasa sehemu kubwa ya wakazi waliojiunga na vikundi hivyo wameachana na kazi ya uharifu wa mazingira uliokuwa ukifanywa kinyume cha sheria.

Kufuatia hatua hiyo viongoiz wa kikundi cha jitegemee kinachojihusisha na ufugaji nyuki katika kata ya kizara wamesema mradi wa ufugaji wa nyuki umewapa mafanikio kwa kuweza kujipatia kipato kinachowawezesha kuwapeleka shule watoto wao.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali