Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakuu wote wa wilaya kwenye jiji la Dar wahamishwa

Jumatano , 25th Jan , 2023

Wakuu wote wa wilaya tano za mkoa wa Dar es Salaam, wamehamishwa na kupelekwa kwenye wilaya za mikoa mingine nchini Tanzania.

Waliokuwa wakuu wa wilaya ndani ya jiji la Dar es Salaam

Taarifa ya wakuu hao wa wilaya kuhamishwa imetolewa hii leo Januari 25, 2023, ambapo Rais Samia Suluhu Hassan, amemhamisha aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Temeke Jokate Mwegelo kwenda kuwa Mkuu wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.

Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Godwin Gondwe, amehamishwa na kupelekwa mkoani Dodoma kwenda kuwa Mkuu wa wilaya ya Bahi.

Fatma Nyangasa aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Kigamboni amepelekwa mkoani Pwani kwenda kuwa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe.

Aidha aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija, amehamishiwa mkoani Mwanza kwenda kuwa Mkuu wa wilaya ya Kwimba.

Na mwisho aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Ubungo Kheri James, amehamishwa na kupelekwa mkoani Manyara kwenda kuwa Mkuu wa wilaya ya Mbulu.

Kwa ujumla wake Rais Samia Suluhu Hassan, ameteua wakuu wa wilaya wapya 37 huku 55 wakibaki kwenye wilaya zao na wengine 48 wamehamishwa wilaya. Idadi hiyo inafanya kuwa jumla yao kuwa wakuu wa wilaya 140 ambapo kati yao wanaume ni 100 na wanawake ni 40.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava