Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walaji wa chapati, maini na soda wapewa angalizo

Jumamosi , 24th Oct , 2020

Mtaalam wa masuala ya lishe kutoka Jukwaa la lishe Tanzania (PANITA) Jane Msagati, amewashauri wanaopenda kula chapati na maini na kisha wakashushia soda au chai ya rangi, waache ulaji wa mtindo huo na badala yake washushie juice ya matunda ili kusaidia mwili kuzalisha damu ya kutosha.

Chapati na maini

Ushauri huo ameutoa hii leo Oktoba 24, 2020, wakati akizungumzxa kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio  na kusema kuwa mtu anapokula hivyo unauwekea uzito mwili wake kuwa na uwezo wa kufyonza virutubishi.

"Mara nyingi tuepuke kula vyakula vyenye viurutubishi vya madini chuma ambavyo vinasaidia katika uzalishaji wa damu mwilini na vitu kama soda na chai ambavyo mara nyingi huzuia ufyonzaji wa virutubishi katika mwilini, hali inayopelekea miili yetu kuwa na upungufu wa hivyo virutubishi", amesema Jane.

Aidha ameongeza kuwa, "Mtu anapokula chapati na maini, ashushie na juice iliyotengenezwa na matunda na maji yaliyo salama kwa sababu matunda ni vyanzo vizuri vya vitamin C, unausaidia sana mwili kuzalisha damu ya kutosha kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya mwili wa mwanadamu".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava