Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walimu wakamatwa kwa tuhuma za kuvujisha mtihani

Jumamosi , 18th Sep , 2021

Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro, linawashikilia watuhumiwa 6 kwa kuhusika na njama za kuvujisha mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi uliofanyika hivi karibu wakiwemo walimu watano na mlinzi mmoja waliokuwa wakisimamia mtihani katika Shule ya Msingi  Kambara wilayani Mvomero.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (SACP) Fortunatus Musilimu

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro (SACP) Fortunatus Musilimu, amesema watuhumiwa hao ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kambara Juliana Thomas, Msimamizi Mkuu wa Mtihani Antonia Pastory, Mwalimu Doma Sekondari, Mtoto Francis, Mwalimu Shule ya Msingi Kinda, Mwalimu Dorine James wa Shule ya Msingi Madizini, Mwalimu Habibu Hango na Mlinzi wa mtihani kituo hicho Mohammed Bajuka.

Aidha, Kamanda Musilimu amesema Jeshi hilo linawashikilia watuhumiwa wengine watano kwa kupatikana na nyara za serikali yakiwemo meno matatu ya Tembo yenye uzito wa kilogramu 23.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto