Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wamiliki viwanda vya minofu waomba ndege kuongezwa

Jumanne , 26th Mei , 2020

Wamiliki wa viwanda vya kuchakata minofu ya samaki kanda ya ziwa wameiomba Serikali kuongeza ndege za mizigo ili kuwawezesha kusafirisha minofu mingi itakayosaidia kuongeza kipato chao na nchi kwa ujumla.

Ubebaji wa minofu ya samaki katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza

Wameyasema hayo wakati wakisafirisha tani 22 za minofu ya samaki iliyokuwa inaelekea nchini Ubelgiji kwa ndege namba A 330-300 ya nchini Rwanda, ndipo wakatumia fursa hiyo kuiomba serikali kuongeza ndege za mizigo ili kuhakikisha minofu hiyo inawafikia wateja wao kwa wakati.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema kuboreshwa kwa uwanja huo wa ndege wa Mwanza kunazidi kuongeza fursa za uwekezaji hivyo kuwataka wawekezaji kuitumia vizuri fursa hiyo.

"Samaki hawa sifa yake kubwa ni kufika kule wakiwa freshi, na upelekaji kwa ndege unatusaidia kuongeza sifa hiyo na kuongeza thamani ya samaki wanaotoka Tanzania", amesema John Mongella.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto