Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanachama wa CCM watakaombeba mgombea kuadhibiwa

Jumatatu , 17th Jun , 2019

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole, amesema Vijana wa CCM waendelee kuwa na ujasiri, umoja na mshikamano katika kulinda na kutetea maslahi ya Chama na Taifa pamoja na kuepuka vikao visivyo na maana.

Wanachama wa CCM wakiwa na Ndugu Polepole

Polepole ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na mamia ya Vijana wa CCM mkoani Mwanza katika uzinduzi wa kampeni ya "Nyamagana ya Kijani" uliofanyika Juni 16, 2019.

''Nasisitiza viongozi wanaokiuka misingi ya maadili ya CCM, Chama hakitasita kuwachukulia hatua viongozi wenyewe au vikao ambavyo vitakwenda kinyume na misingi ya CCM'', ameeleza Polepole.

Aidha Ndugu Polepole ametolea mfano vikao hivyo kuwa ni kama vile vitakavyoweka msimamo wa kumbeba mwanachama mgombea na kwamba vikao hivyo vitachukuliwa hatua pia ili kulinda nidhamu ya chama.

Pia amewaeleza vijana wa CCM kuwa wao ni ngao ya viongozi wa CCM, hivyo waendelee kumlinda, kumtetea na Kumuunga Mkono Ndugu John Pombe Joseph Magufuli, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania na kuwapinga viongozi wanaotaka kumuangusha kwa hila na wasiofuata utaratibu kupitia vikao.
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji