Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanachuo walia, tunapiga deshi, hatupewi chakula

Alhamisi , 13th Feb , 2020

Wanachuo wa Chuo cha Afya Kagemu ambacho kinamilikiwa na Serikali wamesema wanakabiliwa na changamoto ya kushinda na kulala njaa wawapo chuoni, kutokana na chuo hicho kutokuwa na mfumo rasmi wa kuwapatia chakula.

Wanafunzi wa Chuo cha Afya Kagemu, wakizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt Zainabu Chaula.

Wakitoa malalamiko yao mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Zainabu Chaula aliyefanya ziara chuoni hapo, wanachuo hao wamesema kuwa hali hiyo inasababisha baadhi yao kushindwa kukamilisha masomo yao, huku wengine wakidai ufaulu wao kushuka.

Sebastian John ni miongoni mwa wanafunzi katika chuo hicho ambapo wamesema "Mpaka inafikia mwanafunzi anashindwa kula chakula siku nzima au siku nyingine anapata mlo mmoja, mara nyingi tunatumia lugha yetu nzuri ya kuwa tunapiga deshi".

Kutokana na changamoto hiyo Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt Zainabu Chaula amesema kuwa Serikali imepokea malalamiko ya wanachuo hao na kuwa ili kuwapunguzia adha hiyo itaanza na ukarabati wa bwalo la chakula na jiko ili kuwawezesha kupata chakula chuoni.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine