Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi 500 wakimbia shule Mtwara

Alhamisi , 10th Jan , 2019

Zaidi ya wanafuzi wapatao 500 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari Namikupa, Naputa na Tandahimba mkoani Mtwara hawajaripoti shuleni na kuleta sintofahamu kubwa miongoni mwa wadau wa elimu.

Wanafunzi

Kati ya wanafunzi 516 waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari katika shule hizo, ni wanafunzi 10 pekee ndio walioripoti shuleni mpaka sasa.

Akielezea juu ya kitendo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba, Sebastian Waryuba amewaagiza Watendaji wa Kata kuwatafuta wanafunzi hao na kuwapeleka shuleni huku akiwataka wazazi kuacha visingizio vya kutolipwa fedha zao kutowapeleka watoto wao shuleni.

"Tukiendekeza vitu kama hivi, jamii yetu itazidi kuwa duni na itadidimia kabisa, wazazi wanataka kupata kisingizio fukani, eti kwasababu hatujalipwa fedha za korosho wakati mheshimiwa Rais ametoa elimu bure", amesema Mkuu huyo wa Wilaya.

Shule ya sekondari ya Namikupe imewasajili wanafunzi 219 ambapo mpaka sasa ni mwanafunzi mmoja pekee ameripoti katika shule hiyo, huku shule ya Naputa wakiripoti wanafunzi 5 kati ya 137 na shule ya Tandahimba wameripoti wanafunzi 4 kati ya wanafunzi 160.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava