Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wa darasa la 7 waliofutiwa matokeo

Jumanne , 15th Oct , 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), limeyafuta matokeo ya watahiniwa 909, waliobainika kufanya udanganyifu katika Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi na kuagiza mamlaka kuwachukulia hatua, wale wote waliohusika kufanya udanganyifu katika mitihani hiyo.

Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt Charles Msonde

Taarifa hiyo imetolewa leo Oktoba 15, 2019 na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt Charles Msonde, wakati akitangaza matokeo ya Darasa la Saba kwa mwaka 2019, ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 3.78, ukilinganisha na mwaka 2018.

Aidha tathmini ya awali ya matokeo hayo imeonesha kuwa ufaulu katika somo la Kiingereza bado uko chini, ukilinganishwa na masomo mengine licha ya kuwa unaendelea kuimarika mwaka hadi mwaka na kwamba juhudi za makusudi zinahitajika ili kuinua kiwango cha ufaulu wa somo hilo.

Jumla ya watahiniwa 947,077 wa Shule za Msingi walisajiliwa kufanya mtihani huo, wakiwemo wasichana 495,937, sawa na asilimia 52.37 na wavulana 451,140 sawa na asilimia 47.63, huku watahiniwa wenye mahitaji maalumu  wakiwa 2678 sawa na asilimia 0.23.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali