Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wagoma kisa mayai

Ijumaa , 19th Feb , 2021

Wanafunzi wa shule ya wasichana ya Moi nchini Kenya, watalazimika kubaki nyumbani kwa muda usiojulikana baada ya shule hiyo kufungwa na idara ya elimu kufuatia mgomo wa wanafunzi waliolalamikia kuondolewa kwa mayai kwenye lishe yao.

Mayai

Wananafunzi hao waligoma kwa kile walichokitaja kama kunyanyaswa na usimamizi wa shule hiyo, baada ya kuondoa mayai kwenye ratiba ya chakula shuleni hapo jambo ambalo limeonekana kuwagadhabisha wanafunzi na kufanya mgomo.

Miongoni mwa mambo mengine yaliyowagadhabisha ni upungufu wa wafanyakazi shuleni hapo, hali iliyowalazimu wao kufanya kazi za sulubu, kupewa adhabu kwa njia ya viboko kinyume na sheria, pamoja na masuala mengine wanayosema shule hiyo haiyazingatii.

Visa vya migomo shuleni na wanafunzi kuteketeza mabweni vimekithiri siku za hivi karibuni nchini Kenya, ikiwa ni miezi miwili tu tangu wanafunzi warejee shuleni baada ya kipindi cha miezi kumi nyumbani kufuatia shule kufungwa kutokana na mlipuko wa janga la Corona, ambapo mpaka sasa zaidi ya wanafunzi 50 wamefikishwa kwa tuhuma hizo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine