Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanahangaika tu kutuchonganisha"- Makonda

Jumatano , 14th Feb , 2018

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amefunguka na kumuomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutosikiliza maneno ya mashetani ambao wanataka kuwachonganisha baina yao ili wasiweze kupatana katika utendaji kazi wao.

Makonda amezungumza hayo wakati akitoa salamu kwa wananchi waliohudhuria uzinduzi wa jengo la huduma za mama na watoto kwenye hospitali ya Amana Jijini Dar es Salaam, lilogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 1.2  ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

"Nikuombe Mhe. Waziri Mkuu kuna gazeti moja linahangaika sana kuandika habari mbaya mbaya za mkoa wa Dar es Salaam, lisikupotezee muda hata kulisoma. Wanahangaika tu kutuchonganisha huku na kule, Mungu awahurumie tu kwa sababu hawajui walitendalo", amesema Makonda.

Pamoja na hayo, Makonda ameendelea kwa kusema "lakini niwakumbushe tu kwamba aliyeanza kuchonganisha duniani anaitwa shetani, kuna watu raha zao wasikie labda Mahakama imesema kauli ya kunikashifu au kunitukana Mkuu wa Mkoa. Waelewe tu hawatofanikiwa".

Kwa upande mwingine, Makonda amemsisitizia Waziri Mkuu kutowasikiliza watu wa aina hiyo na kumuomba wachape kazi.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava