Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanakijiji wahoji JKT kuandikishwa kwenye daftari

Jumanne , 15th Oct , 2019

Hali ya sintofahamu na majibizano ya maneno imeibuka mkoani Kigoma, baina ya Maafisa wa Serikali na wananchi wa Kijiji cha Kaseke kilichopo wilayani Kigoma mkoani humo, juu ya uhalali wa kuandikishwa kwa vijana wa mafunzo ya JKT kwenye daftari la kupiga kura.

Kwa mujibu wa wanakijiji hao wamedai kupinga kuruhusiwa kwa vijana wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT kikosi cha 821 KJ Bulombora, kujiandikisha katika daftari la wapiga kura katika kijiji chao kwa kile walichokieleza ni tofauti na miaka iliyopita.

Hali hiyo imetokea wakati Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Rashid Mchata, pamoja na Maafisa wengine wa Serikali walipokuwa katika ziara ya kuangalia namna zoezi la uandikishaji linavyoendelea, ambapo wananchi wamehoji kuwa hawajawahi kuona wazalendo hao wakipiga kura Serikali za Mitaa.

Wananchi hao wameeleza kuwa vijana wa JKT mara kwa mara, wamekuwa wakishiriki kwenye chaguzi za Serikali Kuu tu, na huwa hawaruhusiwi kupiga kampeni jeshini.

Zoezi la uandikishaji wa wananchi kwenye daftari la wapiga kura kueleka uchaguzi wa Serikali za Mitaa linatarajiwa kufungwa Oktoba 17, 2019, baada ya kuongezwa siku 3 na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava