Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi Sengerema kupata mradi wa maji

Jumanne , 24th Jan , 2023

Zaidi ya wakazi 480000 wa kata tatu za Katwe, Bupandwa na Bangwe zilizopo katika halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza wanatarajiwa kuondokana na changamoto ya kuliwa na mamba pamoja na adha ya kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 15 kutafuta maji

Hii ni baada ya mradi wa maji kujengwa katika Kijiji cha Katwe.

Mradi huo wa maji unaojengwa na kampuni ya Emirates Builders Limited natarajiwa kukamilika mwaka huu ambapo utawasaidia wakazi hao kuwanusuru kuliwa na mamba kama anavyobainisha mbunge wa jimbo hilo la Buchosa Erick Shigongo

‘Nimekulia hapa nimeishi na nyie hapa nashuhudia wazazi wangu wanachota maji umbali mrefu sana ziwani nimeshuhudia wakina mama wakiliwa na mamba naletewa picha za kina mama wakiwa wameliwa na mamba wakiwa wameenda kuchota maji ziwani sasa Rais wetu ametuletea bilioni 15 za miradi yay a maji kuna sababu ya kutomshukuru? Hebu tumshangilie Rias wetu nyinyi ni mashahidi tangu tumepata uhuru wan chi hii hakujawahi kutokea mmwagiko wa pea nyingi kwenye majimbo kama sasa hivi’

Mhandisi Mnyeti Jackson ndiye anayetekeleza mradi huo wa maji kupitia kampuni ya Emirates Builders Limited anaeleza maendeleo ya mradi huo

‘Kwahiyo hapa kwa akzi ambazo tunaendelea nazo sasa hivi ni kule kwenye chanzo kama ulivyoona hapa kwenye matenki tumefikia hatua hii bado fensi na kupaka rangi, na kufunga mabomba na kujenga nyumba ya juu kwahiyo tutakuwa tunasubiria umeme na pampu’

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA