Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi Vunjo wadai ardhi yao ya shamba

Jumatano , 17th Jun , 2015

Wananchi wa jimbo la Vunjo wilayani Moshi wafanya maandamano makubwa kuishinikiza serikali iwatendee haki katika ugawaji wa ardhi ekari la 2000 za shamba la ushirika la Lokolova ambalo serikali mkoani Kilimanjaro

Mbunge wa Vunjo akiwa na wananchi wa jimbo hilo

Wananchi wa jimbo la Vunjo wilayani Moshi wafanya maandamano makubwa kuishinikiza serikali iwatendee haki katika ugawaji wa ardhi ekari la 2000 za shamba la ushirika la Lokolova ambalo serikali mkoani Kilimanjaro imelichukua bila ridhaa ya wanaushirika kwa ajili ya ujenzi wa soko la kimataifa..

Mbunge wa vunjo Mh. Augustine Mrema amesema, ingawa wananchi wa jimbo hilo hawana tabia ya kufanya vurugu lakini katika suala la ardhi hiyo yeye ataongoza maandamano hayo ili kuhakikisha wananchi wanaingia mkataba katika umiliki wa ardhi hiyo kama walivyofanya wananchi wa kigamboni.

Mh Mrema amesema hayo alipoongea na wananchi wa kata za jimbo hilo katika mji mdogo wa Himo kuwaeleza hatua mbalimbali anazochukua kurudisha mikononi mwao ardhi ya mieresini, Lokolova na Kilemapofo.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12