Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi walalamikia ujenzi makazi ya Mkuu wa Mkoa

Jumanne , 11th Mei , 2021

Wananchi wa kata za Kitendaguro na Bakoba ambao walijitolea nguvu zao kujenga barabara kwa lengo la kurahisisha mawasiliano katika kata hizo, wameilalamikia serikali kuharibu barabara yao baada ya kuanza ujenzi wa ukuta katika eneo yatakapojengwa makazi ya mkuu wa mkoa wa Kagera, na kwamba

Eneo ambalo unajengwa ukutwa

ujenzi wa ukuta huo utawafanya kukosa namna ya kutoka katika makazi yao.

Wakizungumzia suala hilo wananchi hao kutoka katika mitaa ya Kyamuhumula, Forodhani na Mtoni wamesema baadhi yao wamekaa katika mitaa hiyo kwa muda mrefu kutokana na kurithishwa maeneo hayo na wazazi wao, na kutumia fursa hiyo kuiomba serikali kulitafutia ufumbuzi wa haraka tatizo hilo.

Wenyeviti wa mitaa miwili kati ya mitatu yenye mgogoro, Audax Mathias wa mtaa wa Mtoni na Abela Nelson wa mtaa wa Kyamuhumula wamethibitisha kuwepo kwa mgogoro huo ambao asilimia kubwa unatokana na kuharibiwa kwa barabara ya kwenda katika makazi ya wananchi, huku wakieleza hatua ambazo zimechukuliwa.

Kwa upande wake afisa mipango miji wa manispaa ya Bukoba, Catress Rwegasira amesema kuwa wananchi wanaolalamika hawakuwepo katika eneo hilo lilipopimwa mwaka 1994 kwa ajili ya kujenga makazi ya mkuu wa mkoa.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa