Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi walalamikia utiririshwaji wa maji machafu

Jumatano , 16th Jul , 2014

Wakazi wa mtaa wa Ubungo Kisiwani jijini Dar es salaam nchini Tanzania wameilalamikia serikali ya mtaa huo kwa kushindwa kuchukua hatua za kudhibiti watu wanaotiririsha maji yenye kinyesi kwenye mfereji uliopita kati kati ya makazi ya watu.

Moja ya maji machafu yanayotiririka kuelekea makazi ya watu.

Wakizungumza na East Africa Radio wakazi wa mtaa huo wamesema licha ya viongozi kuona hali ya hatari ikiwemo ya uwezekano wa kupata magonjwa ya milipuko lakini wamekuwa hawachukui hatua za kudhibiti na hivyo kuwaacha wananchi wakiwa wanaishi katika hali ya wasiwasi.

Hata hivyo akizungumzia tatizo hilo diwani wa kata hiyo ya Ubungo Kisiwani Bw. Bonifasi Jakobo amesema tatizo la kuwepo kwa maji yeynye kinyesi ndani ya mfereji huo linatokana na baadhi ya watu wasiojulikana kufungulia maji hayo na kuyatiririsha katika mfereji huo.

Wakati huo huo, Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini Tanzania - TPDC, limesema mpaka sasa utafiti unaonesha kwamba kuna futi za ujazo bilioni 9.6 za gesi asilia.

Mkurugenzi wa TPDC Yona Kilagane amesema kati ya hizo, futi za ujazo bilioni 8 zipo kwenye nchi kavu huku futi za ujazo bilioni 42.2 zipo kwenye kina cha bahari kuu.

Kilagane amesema hayo leo jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayohusu uchimbaji wa gesi asilia na utafiti kuhusu mafuta.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine