Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wamkataa kiongozi wao

Jumamosi , 20th Apr , 2019

Wananchi wa Kijiji cha Igombola Kata ya Lupembe wilayani Njombe wamesema hawana Imani na Mwenyekiti wao wa kijiji aliyejulikana kw ajina la Josephati Kiluka kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maendeleo na kudai kuwa anafanya kazi kwa maslahi yake binafsi.

Wakizungumza kwa wakati tofauti wananchi hao wamesema hawana imani na mwenyekiti huyo kwa kubadili mahali ambapo miradi ya maendeleo na kuyapeleka sehemu ambayo ni tofauti na makubaliano ya wananchi.

Wananchi hao wameeleza kuwa licha ya kubadili miradi ya maendeleo na kuielekeza tofauti wamesema pia amehujumu miradi ya maji katika kijiji hicho na bado imekuwa na changamoto kutokana na usimamizi mbovu wa kiongozi huyo.

Akijibu madai hayo Mwenyekiti Josephati Kiluka amedai kuwa taarifa zilizotolewa na wananchi hao kuwa hazina ukweli, na kusema miradi hiyo imeshindwa kukamilika kwa wakati kutokana na baadhi ya viongozi kuweka siasa kwenye miradi hiyo.

"Tatizo kubwa wanasiasa kwa sababu huwa wanaongea kuwafahadaa wananchi, lakini miradi mingi ya maendeleo imekwamba kutokana kuwekwa siasa, lakini hayo madai wanayotoa dhidi yangu si kweli." amesema mwenyekiti huyo Josephati  Kiluka

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine