Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi washangaa CHADEMA kuzindua mradi wa maji

Jumatatu , 22nd Mei , 2023

Baadhi ya wananchi wasio na vyama pamoja wale wa CCM wamelalamikia hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kanda ya Nyasa na mkoa wa Njombe kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Uliwa halmashauri ya mji wa Njombe

Wakizungumza mbele ya Uongozi wa Wakala wa maji vijijini Ruwasa wilaya ya Njombe na viongozi ngazi ya kijiji na Kata ya Iwungilo waliofika kusikiliza malalamiko hayo wanasema hawakukubaliana nani atauzindua walishangaa kuona Chadema wanauzindua pasina makubaliano ya pande zote

Wakati wananchi wakigawanyika mtendaji wa kijiji cha Uliwa Stunisius Mlowe na mwenyekiti nao wameshangazwa na kitendo hicho ambapo wanasema hawakuwa na taarifa

Kufuatia chama cha demokrasia na maendeleo kupewa heshima ya kuzindua mradi huo na baadhi ya wananchi wa kitongoji cha CANADA na Itowa, Mchungaji Peter Msigwa siku chache zilizopita wakati akizindua mradi huo alisema wananchi wamefanya jambo ambalo ilikuwa lifanywe na serikali na kisha kuchangia fedha kiasi cha lakinane.

Maofisa wa wakala wa maji na usafi wa mazingira mijini na vijijini TARURA wilaya ya Njombe wamefika kijijini hapo na kuwatoa hofu wananchi huku wakisema wanakwenda kuboresha zaidi ili unufaishe watu wengi

Kwa mujibu wa wananchi wanasema walichukua uamuzi wa kujenga mradi huo kwa ngvu zao baada ya kuona serikali imewachangisha fedha kwa miaka mingi lakini maji hayafiki.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava