Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi watakiwa kutochagua viongozi kwa Rushwa

Jumatano , 29th Jul , 2015

Wananchi wamekumbushwa kutowachagua viongozi wanaotoa rushwa kwani inapelekea kupata viongozi wasiojali maslahi ya umma.

Mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Iringa Mjini Balozi Augustino Mahige.

Mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Iringa Mjini Balozi Augustino Mahige amesema wagombea wanaopata uongozi kwa kutumia rushwa wanashusha hadhi ya taifa.

Dkt. Mahige ameshauri kurekebisha sheria za rushwa kwani kwani suala hilo likiendelea linaweza kusababisha wawekezaji kuacha kuwekeza nchini na kuzorotesha maendeleo ya nchi.

Balozi Mahige amesema ikiwa atapata ridhaa ya kuongoza jimbo la Iringa Mjini ataboresha fursa za ajira kwa wananchi.

Amekishauri chama cha CCM kupunguza gharama za matumizi ya ziada ya mchakato wa kugombea nafasi hiyo kwani gharama zake ni kubwa zaidi ya ile ya kuchukua fomu

Jumla ya wagombea 13 wanashiriki katika kinyanganyiro hicho ambapo mchakato huo unashirikisha kata 18 katika manispaa ya Iringa.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA