Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wauwa mamba 300 kulipiza kisasi

Jumatatu , 16th Jul , 2018

Kikundi cha watu wapatao 100 wenye hasira kali nchini Indonesia kimeua mamba takribani 300 baada ya mamba mmoja kujeruhi na kumuua mfugaji aliyekuwa akitafuta malisho.

Mamba waliouwawa na wananchi nchini indonesia

Tukio hilo limetokea katika jimbo la Papua ambapo, Sagito (48) alitumbukia katika bwawa linalotunza mamba hao wakati akitafuta majani ya kulisha mifugo yake.

Kikundi hicho cha watu pamoja na majirani walikasirishwa na uwepo wa bwawa hilo karibu na makazi ya watu ndipo walipoelekea kituo cha Polisi kutoa taarifa lakini licha ya mmiliki wa bwawa kukubali kulipa fidia, wananchi hao hawakukubaliana na uamuzi na kuamua kuwauwa mamba hao.

Mamlaka ya Polisi nchini humo imekiri kutokea kwa tukio hilo na kwamba ipo katika uchunguzi baada ya kukamilika itafungua mashitaka kwa wahusika wa mauwaji hayo.

Matukio ya mamba kuuwa raia yanakithiri nchini humo, mwezi Machi maafisa wa wanyama walifanikiwa kumuuwa kwa risasi mamba mwenye urefu wa mita sita ambaye alimla mfanyakazi mmoja wa shamba la michikichi.

Miaka miwili iliyopita pia mtalii mmoja raia wa Urusi alivamiwa na mamba katika kisiwa maarufu cha watalii kuogelea cha Raja Ampat nchini humo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava