Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaokwenda kufanya kazi Uarabuni waonywa

Alhamisi , 22nd Jun , 2017

Mawakala wa Ajira na Watanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi hususani nchini za kiarabu wametakiwa kupitia kwenye mfumo uliaondaliwa na serikali ili kuepusha unyanyasi, ukatili ukiwemo mauaji yanayowakuta katika nchi wanazokwenda kufanya kazi

Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Ajira, Vijana, Wazee na Wenye Ulemavu, Antony Mavunde na kusema lengo likiwa ni serikali kupata taarifa pindi manyanyaso dhidi yao yanapojitokeza.

Mhe. Mavunde ametumia fursa hiyo kutoa onyo kwa Mawakala ambao husafirisha watu kinyume na taratibu na kusema kuwa pindi watakapobainika sheria kali zitachukuliwa dhidi yao ikiwemo kufutiwa usajili, na kuwachukulia hatua ya kutopata usajili tena na kuongeza kwamba wapo watanzania hawapiti katika ofisi za serikali  kitu ambacho kinawafanya wakose hata msaada wa haraka kutoka ubalozini.

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji