Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaotorosha wagonjwa Mnazi Mmoja waonywa

Alhamisi , 8th Dec , 2022

Mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya rufaa  mnazi mmoja Dr, Muhidini Abdi Mahmoud amelaani vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali hiyo vya kuwaondoa wagonjwa kimagendo hospitalini hapo kwa madai kuwa hakuna vifaa vya matibabu husika

Inaelezwa kuwa wagonjwa haohupelekwa  katika hospitali binafsi kwa lengo la kuwapatia matibabu kwa kuwatoza fedha

Hilo limebainika mara baada ya mkurugenzi huyo kubaini kutokuwepo kwa mgonjwa wa ajali ambae alikuwa amelazwa katika hospitali ya rufaa ya mnazi mmoja katika harakati za kumtafuta mgonjwa huyo alibainika kuwepo katika hospitali ya Aasiahh S Hospitali ilipo shehia ya mkele  mkoa mjini magharibi

Aidha Dr Muhidini amesema kufanya hivyo kwa madaktar hao ni kurudisha nyuma juhudi  za serikali kwani serikali imewekeza fedha nyingi katika sekta ya afya ili kuhakikisha wanachi wanapatiwa matibabu huku akibainisha kua wahusika wote watachukuliwa hatua za kisheria
 

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi