Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanaotukosoa kwa staha hatuwachukii"- Magufuli

Alhamisi , 25th Feb , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amesema kuwa serikali haichukii watu wanaoipa changamoto na wanaokosoa kwa staha na kuwataka Watanzania watangulize uzalendo kwani si kila kitu cha kuweka mitandaoni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais Dk. Magufuli ametoa kauli hiyo leo Februari 25, 2021, wakati akizungumza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika soko la kisasa la Kisutu pamoja na kuzindua jengo la Jitegemee na studio za Africa Magic Group Limited.

"Serikali haichukii wanaotupa changamoto na kukosoa kwa staha, kitakwimu tumeruhusu vyombo vingi sana vya habari katika kipindi hiki kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru, sasa tuna vituo vya Radio 193 na vya TV vipo 46," amesema Rais Dk. Magufuli.

"Nitoe wito kwa wanahabari na Watanzania, vyombo tunavihitaji na habari tunazihitaji lakini tutangulize uzalendo na haki ya yule anayeandikiwa habari, pamekuwa na habari nyingi za uzushi mara fulani kafa mara vigogo wapukutika ni mambo ya ajabu," ameongeza kusema Rais Dk. Magufuli.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava