Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaowania ubunge EALA kupitia CCM, hawa hapa

Jumatano , 29th Mar , 2017

Chama cha Mapinduzi CCM kupitia kwa Katibu wa Itikadi an Uenezi wa chama hicho ndugu Humphrey Polepole, leo kimetangaza majina ya wagombea 12 watakaowania nafasi 6 za ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki.

Humphrey Polepole

Akizungumza na wanahabari leo Jijini Dar es Salaam, Polepole amesema kuwa Kamati Kuu ya chama hicho imezingatia Uadilifu, Uaminifu, Uzalendo, Uchapakazi, Maarifa ya mgombea na kuiishi Imani ya mwanachama wa CCM.

Kwa mujibu wa mchakato, wawakilishi kutoka CCM wanatakiwa kuwa 6 ambapo kati yao wanne watatoka Bara (wanawake wawili na wanaume wawili) na wawili watatoka Zanzibar (mwanamke mmoja na mwanaume mmoja) na kufanya uwakilishi uwe na uwiano wa 50% kwa 50% upande wa uwiano wa kijinsia.

Hawa ndiyo waliopitishwa kati ya wanachama 450 walioomba ridhaa hiyo.

Wanachana hawa 12 wataanza kampeni na kuomba kupigiwa kura na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloanza vikao vyake Jumanne wiki jayo.

Wabunge hao pia watakuwa na kazi ya kuchagua wajumbe watatu kutoka vyama vya upinzani.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine