Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake Singida walalamikia walanguzi wa mazao

Jumanne , 15th Sep , 2015

Wanawake wa mkoa wa Singinda wamelalamikia wafanyabiashara kununua mazao yakiwa mashambani kwa rumbesa kwa bei wanayoitaka hali inayowaumiza kutokana na kulima kwa hasara na hivyo kuwataka wagombea waje na majibu jinsi ya kuwasaidia kupata masoko.

Mke wa mgombe urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),Mama Regina Lowasa.

Wanawake hao wamesema wanashindwa kupata faida katika mazao wanayolima ikiwemo Alizeti na viazi ambavyo wachuuzi hununua mazao yakiwa shambani huku wakitupia lawama wamiliki binafsi wa viwanda vidogovidogo vya kukamua alizeti kuzidi kuwakandamiza wakulima wa zao hilo.

Kwa Upande wake mke wa mgombea urais kupitia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), mama Regina Lowassa akizungumza na wanawake hao amewataka kutokukata tamaa na wasikubali kudanganyika na badala yake wachague viongozi watakaopigania haki kuhakikisha wanasimamia serikali ipeleke viwanda ili kupunguza mzigo kwa wanawake.

Bi. Regina ameongeza kuwa imefika wakati sasa kwa akinamama wajasiriamali hasa wa kilimo kupata faida ya wanachokitengeneza na changamoto hizo zote zitaondolewa au kupunguzwa kwa kiasi kikubwa na serikali ya Ukawa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali