Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Wasipotii agizo lazima wakamatwe' - DC Sabaya

Jumapili , 19th Jan , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amewataka wamiliki wawili wa mabasi ya Machame Safari na Lim Safari, wahakikishe wanafika Kituo cha Polisi kama alivyowaagiza na kwamba yeye hajibizani na watu kwenye mitandao na wasipotii agizo lake watakamatwa kama wahalifu wengine.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Akizungumza na EATV &EA Radio Digital leo Januari 19, 2020, yakiwa yamepita masaa kadhaa tangu atoe agizo hilo DC Sabaya amesema kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha miundombinu ya Reli inabaki salama na kwamba wito wake ni halali.

"Hayo maneno yao yataisha muda si mrefu, maelekezo yangu wafike Kituo cha Polisi na mimi sijibizani na watu kwenye mitandao, na wakitaka kujua wanayeshindana naye hawatamuweza wao waache kufika kituoni na mimi msimamo wangu uko pale pale, na ikifika saa 12:30 jioni hawajafika watakamatwa tu kama wahalifu wengine" amesema DC Sabaya.

Kwa mujibu wa Sabaya amewaagiza wamiliki hao ambao ni Clemence Mbowe na Rodrick Uromu, kufika katika kituo cha Polisi cha Bomang'ombe wilayani humo kwa tuhuma za kuunda genge la uhalifu lenye mrengo wa kuhujumu miundombinu ya reli ili kuathiri usafiri wa Treni ya abiria kati ya Dar es Salaaam na Moshi.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine