Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasukuma domo zege waonywa wasifanye 'Chagulaga'

Jumatano , 6th Jul , 2022

Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya, amepiga marufuku tabia ya baadhi ya vijana wa jamii ya wafugaji wa kabila la Wasukuma kuwalazimisha wanawake kwa nguvu kufanya nao mapenzi na kutaka kuwaoa bila ridhaa yao na kuwaambia mila hizo za Chagulaga zimepitwa na wakati.

Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya

Kauli hiyo ameitoa katika Kijiji cha Igumbiro katika mwendelezo wa ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi katika vijiji vya wilaya hiyo, jambo hilo liliibuka baada ya wanawake kutoa malalamiko yao kwake na kusema kuna baadhi ya wanaume wanalazimisha wanawake kufanya nao mapenzi ama kuwaoa bila ridhaa yao na hufanya hivyo kwa kuwavizia wakiwa wanaenda shambani au wakiwa kwenye minada.

"Suala la Chagulaga lilikuwa enzi za mabababu zetu huo ni ubakaji, kama umempenda mwanamke si uende ukazungumze nae, usione soo sema nae sasa unaenda kuvamia inaonesha mdomo wako ni mzito huna ujasiri wa kwenda kumtongoza mwanamke, domo zege," amesema DC Ngollo

Wananchi wanasema wanaume hao wakikutana na mwanamke humzunguka na kumwambia achague mtu mmoja afanye naye mapenzi, "Mwanamke akikataa anapigwa viboko kama kuna Baba yako au bwana wako akija anapigwa viboko na yeye"
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava