Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wataka wanaume watolewe kwenye rasimu ya ukatili

Jumatano , 25th Jan , 2023

Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi nchini umeiomba serikali kufanya marekebisho ya rasimu ya mpango kazi wa Taifa wa kutokomeza ukatili kwa wanawake, watoto na wanaume wa mwaka 2023-2027 kwa kuondoa neno wanaume katika rasimu hiyo.

Wanawake wanaounda Mtandao wa Wanawake Tanzania, wakiongozwa na Dkt Ave Maria Semakafu (Kushoto) na Rebeca Gyumi, wa pili kutoka kushoto

Kwani kufuatia takwimu za matukio ya ukatili kwa sasa kuonekana asilimia kubwa yamekuwa yakisababishwa na kundi hilo la wanaume .

Mtandao huo umepinga uwepo wa kundi la wanaume katika rasimu hiyo kufuatia takwimu za sasa kuonesha asilimia kubwa ya wahanga wa matukio ya ukatili ni akina mama na watoto na si wanaume kama inavyojumuishwa katika mpango huo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Msichana Initiative Rebeca Gyumi, kwa pamoja wameiomba serikali kutekeleza makubaliano yaliyoafikiwa wakati wa uchukuaji maoni wakati wa mkutano wa wanajukwaa hilo na waandishi wa habari.

Kwa upande wake Dkt Ave Maria Semakafu pamoja na Dkt Rose Ruben ambaye ni Mkurugenzi wa TAMWA wamesema  kutokana na kukosekana na utafiti na ripoti za hali ya ukatili kwa wanaume serikali haina budi kutumia mpango kazi huo kwa ajili ya kusaidia kupunguza vitendo hivyo kwa makundi  ya wahanga wakubwa wa ukatili huku kwa baadhi ya wanaume  iwasaidie kupitia sehemu nyingine za kisheria 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto