Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakaoharibu mazingira Geita, kwenda jela miaka 2

Jumapili , 20th Sep , 2020

Katika Kusherekea siku ya usafi duniani leo Septemba 20,2020 wananchi mkoani Geita wamejitokeza maeneo mbalimbali ikiwemo katika vituo vya mabasi, taasisi za Elimu na barabara za mitaani kwa ajili ya kujitolea kufanya usafi huku wakitahadharishwa kuepuka kuharibu mazingira.

Wakazi wa Geita wakifanya usafi

Afisa mazingira wa halmashauri ya mji wa Geita, Albert Auson amesema kuwa  mwananchi yeyote  atakayeenda kinyume na hapo  ataadhibiwa  kwa kufuata sheria ya usafi na mazingira ambapo atakayekamatwa atalipa faini kuanzia laki mbili hadi milioni moja au kwenda jela miezi 24 au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa wakazi wa mkoa huo wamesema kuwa wameamua kufanya hivyo ili kupunguza magonjwa ya mlipuko ambapo  pia wamewatahadharisha wale wote ambao watakuwa wachafuzi wa mazingira kuwa sheria itachukua  mkondo wake.

"Wengi wametelekeza  maeneo kama haya ya hifadhi ya barabara na kuiachia manispaa ifenye usafi jambo ambalo si sahii mana hata manispaa kuna baadhi ya maeneo wanashindwa kufika,kila raia ambaye amezungukwa na maeneo ambayo ni machafu anapaswa kusafisha kwani mazingira ukiyatunza na yenyewe  yanakutunza’’, amesema Jonathan James.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA