Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania watakiwa kuwasomesha watoto VETA

Jumatatu , 30th Nov , 2015

Watanzania wametakiwa kuwapeleka watoto wao katika vyuo mbalimbali vya ufundi stadi kwa kuwa ndio elimu inayozalisha ajira nyingi kuliko vyuo vikuu hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.

Mwenyekiti wa bodi ya vyuo vya Veta nyanda za juu Kusini inayojumuisha mikoa ya Iringa, Ruvuma na Njombe,Bw, Kabaka Ndenda

Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri wengi wanatoka katika vyuo vya ufundi kuliko wanaomaliza vyuo vikuu kwa kuwa wahitmu wengi wa vyuo vikuu wanategenea kuajiriwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita kujitengenezea ajira kwa kujiajiri wenyewe.

Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa bodi ya vyuo vya Veta Nyanda za Juu Kusini inayojumuisha mikoa ya Iringa, Ruvuma na Njombe Bw, Kabaka Ndenda, katika mahafari ya kwanza ya chuo cha Veta Wilaya ya Makete na kuongeza kuwa kuwa vijana wengi wanaomaliza katika vyuo vya ufundi wanauhakika wa ajira kuliko wanaohitimu vyuo vikuu.

Kwa upande wake mkuu wa chuo hicho Ramadhani Sebo amesema wanafunzi hao wanaenda kuajirika licha ya kuwa na changamoto za vifaa vya kufundishia katika baadhi ya fani zinazofundishwa katika chuo hicho.

Aidha ameongeza kuwa chuo hicho kilianza na kozi mbili na sasa kina kozi 4 huku kikifundisha masomo mtambuka ambayo yanatoa nafasi za ajira kwa haraka zaidi.

Kwa upande wako Wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho wameiomba serikali kuongeza uwezeshwaji kwa vijana wanaojiajiri.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine