Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania watakiwa kuzilinda tunu za taifa

Jumatatu , 12th Oct , 2015

Watanzania wameaswa kuzilinda tunu Muhimu za taifa ambazo ni Amani, Umoja na Haki ili kuepuka machafuko na kupita salama katika uchaguzi mkuu naotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku,

Akizungumza katika mdahalo ulioandwaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Joseph Butiku amesema kuwa lengo la kuendesha mdahalo huo ni kuwakumbusha vijana jinsi ya kutunza amani na kuvumiliana kutoana na mihemko ya kisiasa.

Mh. Butiku ameongeza kuwa mdahalo huo ulikua ni kuhakikisha maadili mema yanafuatwa ,amani inatawala na kuwataka vijana kuchambua sera za vyama na kuacha kuongozwa na viongozi wazee ambao wanawatuma kufanya mambo ambayo yanakikuka sheria za nchi.

Kwa upande wake aliyekuwa mjumbe wa iliyokuwa tume ya kukusanya Maoni ya Katiba Mpya Bw. Hamphery Polepole amesema kuwa watanzania wafuate maneno ya baba wa taifa kuwa utajiri usiwe kigezo cha urais.

Naye aliekuwa Rais wa Bunge la Afrika mama Getrude Mongela amewataka vijana kujua sera za kila chama na kuchagua chama kutokana na muelekeo wa sera zake na siyo kwenda kwa kufuata upepo wa chama huku akiwataka vijana wengi zaidi kujitokeza katika kuiongoza nchi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali