Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi Geita wakamatwa kwa rushwa ya laki moja

Jumapili , 18th Apr , 2021

Taasisi ya Kuzuia na Kupamabana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita, imewakamata watendaji wa vijiji 30 kutoka wilayani Nyang’hwale kwa tuhuma za kugawana milioni 32 walizokusanya kupitia mashine za mfumo wa manunuzi ya umma kisha kuziharibu. 

Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita Leonidas Felix (katikati).

Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita Leonidas Felix amesema mbali na watendaji hao 30 wa Vijiji pia imewakamata watumishi wawili, Mkea Wambura (Afisa afya) na Emmanuel Madirisha mwanafunzi kutoka chuo cha Muhimbili baada ya kupokea malalamiko kuwa wameomba rushwa kutoka kwa mmiliki wa kiwanda 

''Tulipokea malalamiko kutoka kwa mmiliki wa Kiwanda kidogo cha kubangua Korosho ili wasimkamate baada ya kumkuta na mapungufu hivyo wakaomba rushwa kiasi cha shilingi  laki moja,'' amesema Kamanda Leonidas Felix.
 

Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji