Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia maadili

Jumatatu , 17th Aug , 2020

Watumishi wa Umma wametakiwa kufuata maadili na miongozo iliyopo Kikatiba pindi wanapotoa huduma kwa wananchi ili kupusha migongano ya kimaslahi ambayo hupelekea migogoro katika maeneo ya kazi.

Jaji Mstaafu Harold Nsekela Kamishna wa Maadili, Ofisi ya Rais Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma.

Hayo yameelezwa na Kamishna wa Maadili, Ofisi ya Rais Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela wakati akifungua mafunzo kwa wafanyakazi wa tume ya maadili ambao watakuwa ndio wawasilisha mada katika vyombo vya habari ili kutoa elimu kwa wananchi ipasavyo.

Amesema kuwa lengo la mafunzo hayo      ni kuongeza uelewa namna ya kuepuka mgongano wa maslahi katika utumishi pamoja na kuimarisha njia na mbinu za uwasilishaji mada kwa vyombo vya habari.

“Unaweza ongea kitu kwa nia nzuri ila namna unavyoliwasilisha kwa Umma likaleta madhara hasi, kwahiyo kupitia mafunzo haya mtaelekezwa namna ya kuwasiliana”, amesema Jaji Nsekela.

Ameongeza kuwa” Ilani ya Chama tawala 2015 imeagiza na imeandika kuhusiana na hili suala la kuepuka migongano ya maslahi hivyo linapaswa kutekelezwa kwa vitendo”.

Mafunzo hayo kwa wafanyakazi wa tume ya maadili yatafanyika kwa siku tano lengo likiwa ni kuwajengea uwezo kabla ya kuwapatia mafunzo viongozi wa Umma.

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji