Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wanne kortini kwa tuhuma za Rushwa

Jumanne , 5th Apr , 2016

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Iringa, imewafikisha mahakamani watumishi wanne wa serikali Mkoani Iringa wakiwemo wafamasia wawili wa Wilaya ya Iringa Mjini na Mufindi.

Mkuu wa TAKUKURU, mkoani wa Iringa,Eunice Mmari

Akizungumza na Waandishi wa Habari Mkoani humo Mkuu wa TAKUKURU, Eunice Mmari, amesema kuwa watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa na ubadhirifu wa fedha za Umma.

Bi. Eunice aliwataja wafamasia hao waliofikishwa Mahakamani kwa kuisababisha hasara Serikali ya shilingi milioni moja ni pamoja na Lucas Daniel, Mfamasia wa hospitali ya Mkoa wa Iringa, na Seleman Hamza, mfamasia wa hospitali ya Mufindi ambao wote wanashtakiwa kwa makosa ya wizi ya mali ya Umma.

Mbali na hao Afisa huyo Takukuru amesema kuwa wamewafikisha kortini Mwenyekiti na Afisa mtendaji wa kijiji cha Ilula Mwaya wilayani Kilolo kwa tuhuma za upotevu wa shilingi milioni 1 fedha za mapato ya kijiji hicho.

Aidha Bi. Eunice, ameeleza kuwa katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita amesema TAKUKURU imeweza kufikisha kesi 17 mahakamani kati yake tano zimekwishatolewa hukumu.

Ameongeza kuwa Sekta ya Afya na Serikali za mitaa ndio zinazoongoza kwa kupokelewa kwa malalamiko mengi kutoka kwa Wananchi huku akiwataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano katika kupambana na rushwa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine