Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawekezaji warudisha vitalu, Serikali yaeleza

Jumapili , 13th Oct , 2019

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu ametoa sababu zilizopelekea vitalu vingi vya uwindaji wa wanyamapori nchini kukosa wawekezaji na hata baadhi ya wawekezaji waliokuwa wanamiliki baadhi ya vitalu hivyo kulazimika kuvirudisha Serikalini.

Naibu Waziri Kanyasu amemsema sababu kubwa iliyopelekea tatizo hilo ni mifugo kuingizwa ndani ya hifadhi na kuwafanya wanyamapori wengi kuhama.

Kanyasu amesema Wanyamapori hulazimika kuhama maeneo yaliyovamiwa na ng'ombe kwa sababu hushindwa kuvumilia harufu inayotoka kwa ng'ombe, kufutia madawa ambayo hutumika kuoshea wanyama hao.

Amesema kufuatia hali hiyo vitalu vingi vimekuwa havina wanyamapori na badala yake, vimekuwa na ng'ombe hali inayosababisha wawakezaji wengi kulazimika kuvirudisha vitalu hivyo, kwa sababu hawajavichukua kutoka Serikalini kwa ajili ya kuwinda ng'ombe.

Akizungumza katika Pori la Akiba la Moyowosi-Kigosi na watumishi  wa kituo cha Ipole Kaskazini mwa pori hilo kwa upande wa Geita, Waziri Kanyasu amewataka watumishi hao kuimarisha ulinzi kwa kufanya doria madhubuti, ili kuzuia wafugaji wasiweze kuingiza ng'ombe katika pori hilo

Ameyataja Mapori ya Akiba yaliyoathirika na mifugo na kufanya wawekezaji kurudisha vitalu hivyo kwa wingi  kuwa ni Pori la Ugalla pamoja Moyowosi mkoani Kigosi.

Amesema kufikia mwezi Juni mwaka huu, jumla ya vitalu vipatavyo 60 kutoka mapori ya akiba mbalimbali vilikuwa vimerudishwa Serikalini kutoka kwa wawekezaji.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava