Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawekezaji wasioendeleza ardhi kunyanganywa

Jumamosi , 27th Aug , 2016

Serikali imesema itawanyanganya ardhi wawekezaji waliohodhi ardhi ya Tanzania bila kuiendeleza.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ambapo amewataka kuyaendeleza maeneo hayo haraka kabla serikali haijaamua vinginevyo.

Waziri Lukuvi pia amewaagiza wawekezaji wanaohitaji ardhi kwa ajili ya shughuli za uwekezaji ikiwemo viwanda, kuacha kununua ardhi moja kwa moja katika vijiji, na badala yake kutuma maombi katika wizara yake au kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Amesema ili kumaliza migogoro mbalimbali ya ardhi ambayo hutokea mara kwa mara kati ya wananchi na wawekezaji, hivi sasa serikali inaandaa muongozo maalum ambao utaeleza namna sahihi ya utumiaji na ugawaji wa ardhi.

Amekitaka Kituo cha Uwekezaji (TIC) kutoa ushirikiano wa kutosha katika kuhudumia wawekezaji hususani katika masuala ya ardhi kwa kushirikiana na wizara hiyo

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji