Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wazawa 7,713 waajiriwa bwawa la Nyerere

Jumapili , 17th Oct , 2021

Katika kuendelea kuhakikisha wananchi wanapata ajira za kudumu za zile za muda mfupi ili kujipatia kipato, serikali imeweka wazi kuwa kipaumbele cha ajira katika miradi ya ndani ni kwa wazawa wenye sifa.

Sehemu ya mradi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere

Hayo yameelezwa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa wakati akitoa taarifa ya wiki, ambapo amesema katika mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere asilimia 89 ya wafanyakazi ni watanzania.

''Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere una Wafanyakazi Watanzania 7,713 sawa na 89% ya wafanyakazi wote 8,635. Mpaka sasa Wakandarasi wameshalipwa Sh Trilioni 2.832 kati ya Trilioni 6. 558 zitakazotumika kugharamia ujenzi huu,”amesema Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.

Kwa upande mwingine amesema serikali inaendelea kuifungua nchi kwa kuhakikisha barabara zote zinapitika na kuwawezesha watu kufanya shughuli zao za kijamii na kiuchumi bila changamoto hata kama wapo vijijini iwe rahisi kufikia huduma maeneo ya mijini.

''Hadi Juni, 2021, TARURA imetumia Sh Trilioni 1. 297 kutengeneza KM 24,979 za barabara, KM 955.35 kwa kiwango cha lami, KM 16,857 kwa kiwango cha changarawe pia wamejenga madaraja 231 na makalvati mapya 1,325. Mwaka huu wa fedha, Serikali imeitengea TARURA Bilioni 934,” ameongeza Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto