Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri amvaa Msigwa, ataja siri ya ushindi wake

Jumanne , 16th Apr , 2019

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara amemjia juu Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Petter Msigwa kwa kile alichoeleza kuwa amekuwa akijipambanua kama mtu anayepigania demokrasia lakini yeye mwenyewe kiuhalisia sio mtu wa demokrasia.

Naibu Waziri Waitara ametoa kauli hiyo Bungeni jijinin Dodoma wakati wa hitimisho wa mjadala wa bajeti wa Wizara ya TAMISEMI ambapo baadhi ya wabunge walihoji juu ya hatua ya masuala ya utawala bora.

Waitara amesema,"demokrasia inayozungumziwa kwenye nchi hii sijui ni demokrasia gani, Msigwa sijui kama yupo humu ndani, Msigwa wakati anagombea Uenyekiti wake wa Kanda walienda kuondoa Wagombea wote akabaki yeye tu. na walipomuondoa akaenda kupata asilimia 48 za hapana,"

Akizungumzia kauli ya Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, Naibu huyo Waziri wa TAMISEMI amesema,"unaweza ukaona hivi Mkuu wa Majeshi ambaye anaangalia ulinzi wa nchi hii, hautaki atoe kauli za ulinzi wa nchi hii kweli?, kama kuna chokochoko ndani za uchochezi anaachaje?".

Hivi karibuni akizungumza kwenye uzinduzi wa Mji wa Serikali Wilaya ya Chamwino jijini Dodoma, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo alisema kwa sasa jeshi hilo linafuatilia baadhi ya kauli zenye utata zinazotokea ndani ya nchi ili kubaini kama zina viashiria vya uchochezi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava