Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atakiwa kuachia ngazi

Jumatano , 15th Mei , 2019

Mbunge wa Moshi Vijijini Anthony Komu amependekeza Wabunge kufikia maamuzi ya kumtaka Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba Kabudi kuwajibika, kwa kile alichokidai kuna baadhi ya mambo ambayo amekuwa akiyashauri hayaendi sawa.

Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba Kabudi.

Mbunge Komu ametoa kauli hiyo Bungeni Jijini Dodoma katika mjadala wa bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo amesema Profesa Kabudi anashauri mambo yasiyokuwa na manufaa.

"Sakata la korosho upinzani tumesema watu wawajibike,  tuliingia mkataba kampuni ya Kenya na Waziri Kabudi alikuwepo akasema kampuni hiyo ina uzoefu, lakini baada ya miezi 4 imeonekana haina uwezo, kweli Bunge hili linakubali Kabudi aendelee na Uwaziri wake?" amesema Komu.

Akichangia kwenye mjadala huo, Mbunge Tandahimba, Katani S Katani amesema, "wamempotosha sana Rais kwa sisi waislam Kangomba sio dhambi, ipo hadithi inayosema sio haramu, Waziri wa Biashara yupo hapa watu hawajapata fedha mpaka leo, wapo waliopata fedha mwezi 4 mtu anadai Mil. 59, anaingiziwa Mil. 9 anadai ziolizobaki, mimi nadai milioni 48 nimeingiziwa Mil 8 nyingine naendelea kudai".

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri mbalimbali wameendelea kuwasilisha Makadirio yao ya bajeti kwa mwaka fedha 2019/2020.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji