Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atoa sababu jengo la wizara kuchelewa

Jumatano , 17th Apr , 2019

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ameweka wazi sababu zilizochangia kuchelewashwa kwa ujenzi wa jengo jipya la wizara yake jiini Dodoma, na kupelekea kuhamia kwenye mabati.

Waziri atoa maelezo zaidi

 

Akizungumzia hilo, Waziri Jafo amesema kwamba jengo hilo limechelewa kutokana na utaalamu uliotumika kulijenga kuchukua muda mrefu, kwani walifanya vipimo vya kisayansi ili kuweka uimara na ubora zaidi, kutokana na asili ya maeneo hayo kuwa na tatizo la kijiografia.

“Kama unavyoona hapa sasa linaeleka mwisho, jengo hili lilichelewa kwa sababu ni jengo pekee ambalo lilifanyika geological analysis, kwa ajili ya kuhakikisha nature haiharibu, nikasema mimi kama Waziri siwezi nikajenga jengo hapa, lazima tuzingatie vigezo, wenzetu wa TBA tukashirikiana ikafanyika Geological analysis, ikachukua muda kidogo lakini baadaye ikatuonesha foundation yake iundwe chini, ili kuhakikisha uimara wa hili jengo”, amesema Waziri Jafo.

Mapema Wiki hii wafanyakazi wa wizara hiyo walitakiwa kuhamia Dodoma licha ya jengo lao la Wizara kutokamilika, jambo lililowalazimu kuhamia kwenye ofisi zilizojengwa kwa mabati.

Jengo la mabati ambalo Waziri amehamia

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto