Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Ummy asitisha ujenzi wa miradi mitatu

Jumapili , 20th Jun , 2021

Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mtaa Mhe. Ummy Mwalimu amesimamisha ujenzi wa miradi mitatu katika Halmashauri ya Kinondoni ikiwemo mradi wa ujenzi wa stendi ya Mabasi Mwenge kwa ajili ya uchunguzi.

Moja kati ya mradi wa Ujenzi wa kituo cha mabasi Mwenge amnao pia umesimamishwa.

Mhe. Ummy amefikia uamuzi huo mara baada ya kutembelea na kukagua miradi hiyo leo Juni 20, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo amesema hajaridhishwa na ujenzi wa miradi hiyo kwani tangu ilipoanza hadi sasa imefikia asilimia 46 ya utekelezaji wake, licha ya kuongezewa muda.

''Sijaridhishwa na hatua za ujenzi wa stendi ya mabasi Mwenge, zipo sarakasi kwenye huu mradi zipo sintofahamu kubwa ili niweze kujiridhisha nasimamaisha ujenzi na naunda timu ya kuchunguza miradi yote mitatu stendi ya Mwenge, uwanja wa mpira pamoja na jengo la utawala wa Manispaa ya Kinondoni nataka kujiridhisha,'' amesema Waziri Ummy.

Pia Mhe. Ummy amemuagiza Katibu Mkuu TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe kumletea timu huru siku ya jumanne, tarehe 22/06/2021 kwa ajili ya kuchunguza mikataba yote kuanzia mwanzo ili kujiridhisha.

Katika hatua nyingine Waziri Ummy amemsimamisha kazi Mhandisi wa Manispaa Bwa. Isack Mpaki kuanzia leo .

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu