Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri wa Ulinzi atangaza kujiuzulu

Jumamosi , 13th Apr , 2019

Waziri wa Ulinzi nchini Sudan Awad Ibn Aouf ametangaza kujiuzulu kwenye nafasi yake ya uongoi wa Serikali ya Mpito, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi nchini humo kutangaza kumuondoa Rais Omar al-Bashir ambaye aliiongoza nchi hiyo kwa miaka 30.

Waziri wa Ulinzi nchini Sudan Awad Ibn Aouf

Awad Ibn Aouf taarifa zake zimeanza kusambaa mapema leo asubuhi ambapo zimezua taharuki maeneo mbalimbali nchini humo kutokana na kiongozi huyo hivi karibuni kuonekana kwenye vyombo vya habari akitangaza kuondoa utawala wa Rais Al-Bashir.

Jenerali Awad Ibn Ouf alitangaza kuunda Serikali ya mpito baada ya kuongezeka kwa maandamano ya raia wa Sudan ambao walionekana kuukataa utawala wa Rais Bashir kwa kufanya maandamano.

Uamuzi wa Jenerali Awad Ibn Ouf umezua sintofahamu miongoni mwa wachambuzi wa siasa Afrika wakihoji huenda uamuzi huo ukawa shinikizo la baadhi ya Wanajeshi wenzake kufuatia kiongozi huyo kuwa mshiriki wa Al-Bashir kwa muda mrefu.

Alhamis ya wiki hii Gen Ibn Auf akiungana na Wanajeshi  wenzake kufikia maamuzi ya kumuondoa Rais Al-Bashir kufuatia maandamano yasiyokuwa na kikomo yaliyokuwa yakifanywa na wananchi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava