Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yataka tozo zisiwe kikwazo kwa watalii

Jumatano , 6th Jul , 2022

Halmashauri zilizo na maeneo ya vivutio vya utalii kote nchini zimetakiwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii na wadau mbalimbali wa sekta hiyo kabla ya kuanzisha tozo mpya kwa watalii wanaotembelea vivutio hivyo ili tozo hizo zisiwe kikwazo kwa watalii wanaokuja nchini.

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana.

Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana wilayani Wanging'ombe, wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya uhifadhi katika Pori la Akiba la Mpanga Kipengere.

Waziri Chana ameeleza kuwa jitihada alizofanya na anazoendelea kuzifanya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan za kuitangaza sekta ya utalii kupitia filamu ya Royal Tour ni lazima ziungwe mkono na wadau mbalimbali na Halmashauri zote kwa  kuhakikisha zinaweka mazingira mazuri na rafiki kwa watalii.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava