Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zijue kauli alizoambiwa Mbowe kabla ya kuvamiwa

Jumanne , 9th Jun , 2020

Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa, kabla ya watu wasiojulikana kumvamia na kumshambulia Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, walimuambia kwamba yeye amekuwa akiisumbua sana Serikali na wala hawana mpango wa kumuua bali wanataka kumvunja tu.

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe

Msigwa ameyabainisha hayo leo Juni 9, 2020, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.

"Kuanzia saa 1 hadi saa 3 usiku tulikuwa wote, baadaye alipita maeneo ya karibu na kwangu akapaki gari yake, na walinzi wake waliondolewa kipindi kile cha sakata la Corona, kwa maelezo yake sasa wakati anapanda ngazi kwenda nyumbani kwake, wakashuka watu watatu wakiwa wamevaa makoti meusi wakamuambia wewe unaisumbua sana Serikali, tunataka tukuoneshe kama Serikali ipo, sisi hatuna mpango wa kukuua ila tunataka tukuvunje, ili ushindwe kufanya kampeni" amesema Mchungaji Msigwa.

Aidha Msigwa ameongeza kuwa "Ni aibu kubwa sana Wabunge kuushambuliwa tena kwa mara ya pili tukiwa bungeni tukifanya kazi ya wananchi, chama kinajipanga ili kutoka kwa wananchi kuongea na kujua nini msimamo wetu".
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava