Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zimamoto watoa mafunzo kwa vijana

Jumatano , 6th Jul , 2022

Jeshi la zimamoto Mkoani Rukwa kwa kushirikiana na Hifadhi ya msitu wa Mbizi wametoa mafunzo ya kudhibiti na kuzuia majanga ya moto kwa vijana mia moja kutoka katika Kamati ya mazingira ya vijiji kumi vinavyozunguka Hifadhi ya msitu wa mbizi ili kusaidia kutunza mazingira

Awali  Baraka Chelela ambaye ni Kaimu  mhifadhi  wa msitu wa mbizi akiongea katika kufunga  Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa mda wa siku nne kuwa ni pamoja na kuishirikisha jamii katika kulinda mazingira ya misitu huku   Konstable Joston Seme kutoka kitengo cha Elimu na mafunzo kwa Umma kutoka jeshi la zimaoto na uokoaji  akitoa wito kwa wananchi kufatilia mafunzo yanayotolewa na jeshi hilo ili kuepukana na majanga.

Kwa upande wake baadhi  ya vijana walioshiriki mafunzo hayo ya kuthibiti na kuzuia majanga ya moto  yaliyoenda sambamba na zoezi la  kuchoma msitu na kuthibiti moto   wakaeleza manufaa wanayoyapata kupitia msitu wa mbizi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava