Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto akiri yupo tayari kwa kifo

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa yupo tayari kusema asante siku yake ya kutwaliwa ikifika kwani anauhakika amejitahidi sana katika kuuweka mkoa wake wa Kigoma kwenye ramani.

Zitto ameyasema hayo kupitia waraka wake ambapo amedai kwamba Kiongozi huw anawaza kizazi kijacho na mwanasiasa huwaza uchaguzi ujao na kwa upande wake wakati anaingia bungeni alimuomba Mungu amsaidie kupitia yeye watu waone ufakhari kutoka Kigoma.

Aidha Zitto ameongeza kwamba hakuna mtu wa Kigoma anayeoona aibu kusema anatoka Kigoma hiyo ni kutokana na mshikamano walioutengeneza.

"Leo hata mola akisema Bwana Mwami funga siku zimetimia, nitasema Asante Mungu. Nitakuwa natabasamu maana nimeweka tofari zangu kupandisha nyumba yetu Kigoma juu ya msingi Imara kabisa. Watoto na Wajukuu watasema alikuwepo Mwami. Alikuwepo Kiongozi. Wataendeleza kazi" Zitto. 

Ameongeza kwamba wanaowaza "Uchaguzi unaofuata hawana miadi na mungu. Wanaojiapiza kuhusu uchaguzi unaokuja hawajawahi hata kuchaguliwa kwenye kitongoji cha kwao walipozaliwa". 

Mbali na hayo Mbunge huyo amefunguka kwamba demokrasia ndiyo imetoa  nguvu kubwa ya kupiga hatua ikiwa ni pamoja na sauti ya kusikika "Anayetaka turudi kwenye ukiritimba ni adui mkubwa. Tutampiga tu".
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine