Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto ataja ahadi alizoshindwa kutekeleza 

Jumamosi , 12th Sep , 2020

Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amedai kuwa katika uongozi wake wa miaka mitano akiwa kama Mbunge wa jimbo kuna ahadi alishindwa kutekeleza.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe

Zitto ametoa kauli hiyo wakati akizindua kampeni yake ambapo alikiri kuwa kuna ahadi zilishindwa kutimizwa ikiwemo kuishawishi Manispaa ya mji huo kuinunua timu ya Mashujaa ili Mkoa huo upate timu itakayowawakilisha Ligi Kuu soka Tanzania Bara.

"CCM ilitukwamisha tulitaka kuishawishi manispaa ili kuinunua timu ya Mashujaa ili tupate wawakilishi wa Mkoa katika mchezo wa soka Ligi Kuu, lakini tutaendelee kupambana ili tupate timu kutoka Kigoma itakayopanda kucheza Ligi Kuu", amesema Zitto.

Zitto ameongeza kuwa, "Katika kipindi cha miaka 5 nimefanya kazi kubwa kushirikiana na wabunge wengine wa mkoa wa Kigoma kupaza sauti ili barabara za mkoa wa Kigoma zijengwe kwa lami kama ilivyo mikoa mingine hapa Tanzania".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava