Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto atia neno siku tatu za Waziri Jafo 

Jumanne , 15th Oct , 2019

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amemuomba Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo kuongeza siku zingine ili kutoa nafasi zaidi kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Zitto Kabwe

Zitto ametoa kauli hiyo katika Kitongoji cha Kabinga, Mji Mdogo wa Mwandiga mkoani Kigoma, wakati akijiandikisha kwa ajili ya kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuwaomba viongozi kuacha kutoa vitisho na badala yake waongeze vishawishi kwa wananchi, kwani suala la kujiandikisha ni la utashi wa mtu binafsi.

''Namuomba Waziri wa TAMISEMI aangalie upya uamuzi wake wa kuongeza siku tatu bado ni chache, angalau uandikishaji ungekuwa wiki mbili, kwahiyo watafanya tathmini watatazama ili kuona kama wataweza kuongeza muda'', amesema Zitto.

Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, Oktoba 13, 2019 aliongeza siku tatu zingine kwa ajili ya wananchi kuendelea kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kupigia kura viongozi wa Serikali za Mitaa, zoezi ambalo litafikia ukomo Oktoba 17 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe